Friday, 26 June 2015

WEWE NI ZAIDI BY ERIC SMITH










Mi nashangaa, Nikielewa

Wewe ni zaidi, ya vile nilivyoambiwa juu yako

Tena sauti yako baba yanizidia,

Sauti zote, ninazosikia X2



Yale umetenda baba (Tenda) Yote Ni makuu

Maana wayatenda (ammhh) kwa upendo

Yale unasema baba (Tenda) Yote ni kweli

Maana pia wayasema (ammhh) kwa upendo X2



Nimejipata, ndani ya upendo wako,

Umekua kwangu mapumziko

Neema yako yanitosha,

Nikiwa nawe mimi niko huru. X2



[chorus]

Yale umetenda baba  Yote Ni makuu

Maana wayatenda  kwa upendo

Yale unasema baba  Yote ni kweli

Maana pia wayasema , kwa upendo X2



Wewe ni Mungu mkuu,

Mfalme wa wafalme,

Muumba wa mbingu na nchi,

Heshima zote ni zako bwana,

Hakuna kama wewe



[chorus]

Yale umetenda baba  Yote Ni makuu

Maana wayatenda  kwa upendo

Yale unasema baba  Yote ni kweli

Maana pia wayasema , kwa upendo X2



No comments:

Post a Comment