Wednesday, 24 June 2015

LOVER LYRICS BY BAHATI

LOVER LYRICS BY BAHATI

Kama Ni Mapenzi nilishatafuta sana,

Kama ni kutosa nilishatosa kwa bana,

Kama Ni mapenzi nilishatafuta sana,

*omugwane wanje, songa wachinyimba  ***



Ungekua nyimbo ningekucheza sana,

Ungekuwa zeze ningekucheza bana,

Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana



 [refrain]

You my lover , yeh, lover yeh ie ie.

You my lover , yeh, lover yeh ie ie.

You my lover , yeh, lover yeh ie ie.

l.o.v



Ungekua nyimbo ningekucheza sana,

Ungekuwa zeze ningekucheza bana,

Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana 



[Refrain]





Umekuwa baba kwangu [l.o.v]

Roho mtakatifu, [l.o.v]

Nautanashati   ukanipa kimwana

Nayo mashairi ndani yangu ukajaza.





Umekuwa baba kwangu , [l.o.v]

Roho mtakatifu, [l.o.v]Yote pokea sifa moyoni umefanya,

Maulana si kawaida kenya wakanidata,

Yote pokea sifa moyoni umefanya,

Najua Africa Mtoto wa  mama atasikika.








No comments:

Post a Comment