ONE STOP BLOG
Tuesday, 21 July 2015
Friday, 3 July 2015
BWANA UMEINULIWA FAITH MBUGUA
Bwana, Umeinuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Maserafi, wako mbele zako mungu,uuh, wazikabithi, heshima zako mbele zako
Wanalia , mtakatifu ni wewe mungu, uuh mtakatifu,mtakatifu ni wewe mungu
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Makerubi,pia wako mbele zako,ooh, hata nao, wazikabithi heshima zao
wanazivua, taji zao za dhahabu , uuh wakiinama, mtakatifu ni wewe mungu.
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
wazee wale ishirini na wanne, eeh, hata nao wazikabidhi heshima zao,
wanainama, mtakatifu ni wewe mungu, uuh, mtakatifu, mtakatifu ni wewe mungu.
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Viumbe wale walio hai, iih, hata nao wazikabithi heshima zao.
wapeperusha, mabawa yao mbele zako,ooh, wajifunika, mtakatifu ni wewe mungu
Bwana, Umeinuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Nafsi yangu, naiinua mbele zako,ooh, naungamana, na hilo jeshi la mbinguni,
mataifa yote nayo yajue, eeh , ya kwamba wewe, wewe mungu ni mtakatifu
Bwana, Umeinuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X3
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Maserafi, wako mbele zako mungu,uuh, wazikabithi, heshima zako mbele zako
Wanalia , mtakatifu ni wewe mungu, uuh mtakatifu,mtakatifu ni wewe mungu
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Makerubi,pia wako mbele zako,ooh, hata nao, wazikabithi heshima zao
wanazivua, taji zao za dhahabu , uuh wakiinama, mtakatifu ni wewe mungu.
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
wazee wale ishirini na wanne, eeh, hata nao wazikabidhi heshima zao,
wanainama, mtakatifu ni wewe mungu, uuh, mtakatifu, mtakatifu ni wewe mungu.
Bwana, Umei-nuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Viumbe wale walio hai, iih, hata nao wazikabithi heshima zao.
wapeperusha, mabawa yao mbele zako,ooh, wajifunika, mtakatifu ni wewe mungu
Bwana, Umeinuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X2
Nafsi yangu, naiinua mbele zako,ooh, naungamana, na hilo jeshi la mbinguni,
mataifa yote nayo yajue, eeh , ya kwamba wewe, wewe mungu ni mtakatifu
Bwana, Umeinuliwa aah, katika, kiti chako, cha enzi X3
Friday, 26 June 2015
NGASABELE LYRICS BY SPIRIT OF PRAISE
NGASABELE LYRICS BY SPIRIT OF PRAISE 5 ft VICKY VALAKAZI
Ngiya kuzwa njalo Jesu (I heard you always Jesus)
Ngizwa Izwi lakho (I heard your Voice)
Ningi biza njalo njalo (Calling me always)
Lithi woza kimi (Saying come to me)
Choir:
Ngiya kuzwa njalo Jesu (I heard you always Jesus)
Ngizwa Izwi lakho (I heard your Voice)
Ningi biza njalo njalo (Calling me always)
Lithi woza kimi (Saying come to me)
Lead:
Ngasabela (I respond)
Ngasondela (I am approaching you)
Ngasabela (I respond)
Ngasondela (I am approaching you)
Baba ngi zwa izwi lakho (Father i heard your Voice)
Ngasabela (i respond)
Choir:
Ngasabela (I respond)
Ngasondela (I am approaching you)
Ngasabela (I respond)
Ngasondela (I am approaching you)
Baba ngi zwa izwi lakho (Father i heard your Voice)
Ngasabela (i respond)
Ngasabela (I respond)
Ngasondela (I am approaching you)
Ngasabela (I respond)
Ngasondela (I am approaching you)
[Lead:]
Baba ngi zwa izwi lakho (Father i heard your Voice)
[Choir:]
Ngasabela (I respond)
Choir:
Baba ngi zwa izwi lakho (Father i heard your Voice)
Ngasabela (I respond) X4
Lead:
Baba ngi zwa izwi lakho (Father i heard your Voice)
Ngasabela (i respond), Ngasabela (i respond), Ngasabela (i respond) X4
Baba ngi zwa (Father i heard your Voice) X3
Choir:
Baba ngi zwa izwi lakho (Father i heard your Voice)
Ngasabela (i respond)
NALILIA UZIMA LYRICS AIC SHINYANGA CHOIR
NALILIA UZIMA LYRICS AIC SHINYANGA CHOIR
Nalilia uzima, kutoka kwa Bwana
Ili nikaishi naye katika uzima,
Uzima wa milele
Shetani anaulilia uzima wangu mimi,
Anisukumia mawimbi ya kila haina
Na mateso makali X2
Anitisha ili nisimuone Bwana
Lakini nimejitoa , Kwa bwana kwa moyo wangu wote
Liwalo na liwe
Asukuma silaha za maangamizi, eti anisambaze,
bwana wangu kaniwekea walinzi,
Najivuna kwa bwana. X2
Shetani hana nafasi,
kwangu mimi moyoni mwangu
yesu atawala , uzima wangu, niliopewa na bwana X2
Uzima wangu ni wa dhamani,
gharama yake kifo chake yesu,
dhamani yake ni damu yake,
bwana yesu msalabani. X2
Yesu ni nuru moyoni mwangu,
yesu ni uzima wangu,
yesu ni ushindi , namtegemea yeye katika kila jambo,
siogopi kitu , bwana ni ngome yangu,
sibabaishwi kitu. X2
Nalilia uzima, kutoka kwa Bwana
Ili nikaishi naye katika uzima,
Uzima wa milele
Shetani anaulilia uzima wangu mimi,
Anisukumia mawimbi ya kila haina
Na mateso makali X2
yesu, u-natosha, u-natosha, wewe peke yako
shetani, u-shindwe, u-shindwe, kwa jina la yesu X2
Anitisha ili nisimuone Bwana
Lakini nimejitoa , Kwa bwana kwa moyo wangu wote
Liwalo na liwe
Asukuma silaha za maangamizi, eti anisambaze,
bwana wangu kaniwekea walinzi,
Najivuna kwa bwana. X2
MATAIFA YOTE LYRICS BY SARAH K SWAHILI WORSHIP
MATAIFA YOTE LYRICS BY SARAH K - SWAHILI WORSHIP
Mataifa yote, yanakufahamu (All nations, know You)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (That You are an undefeatable God)
Mataifa yote, yanakufahamu (All nations, know You)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (That You are an undefeatable God)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (That You are an undefeatable God)
Chorus:
Usiyeshindwa, usiyeshindwa (Undefeatable, undefeatable)
Wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Usiyeshindwa, usiyeshindwa (Undefeatable, undefeatable)
Wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Makabila yote, yanakufahamu (Every tribe knows You)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Makabila yote, yanakufahamu (Every tribe knows You)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Chorus:
Usiyeshindwa, usiyeshindwa (Undefeatable, undefeatable)
Wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Usiyeshindwa, usiyeshindwa (Undefeatable, undefeatable)Wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Na kanisa lako, linakufahamu (And your Church, knows that)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
Na kanisa lako, linakufahamu (And your Church, knows that)
Kuwa wewe ni Mungu usiyeshindwa (You are an undefeatable God)
WEWE NI ZAIDI BY ERIC SMITH
Mi nashangaa, Nikielewa
Wewe ni zaidi, ya vile nilivyoambiwa juu yako
Tena sauti yako baba yanizidia,
Sauti zote, ninazosikia X2
Yale umetenda baba (Tenda) Yote Ni makuu
Maana wayatenda (ammhh) kwa upendo
Yale unasema baba (Tenda) Yote ni kweli
Maana pia wayasema (ammhh) kwa upendo X2
Nimejipata, ndani ya upendo wako,
Umekua kwangu mapumziko
Neema yako yanitosha,
Nikiwa nawe mimi niko huru. X2
[chorus]
Yale umetenda baba Yote Ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema baba Yote ni kweli
Maana pia wayasema , kwa upendo X2
Wewe ni Mungu mkuu,
Mfalme wa wafalme,
Muumba wa mbingu na nchi,
Heshima zote ni zako bwana,
Hakuna kama wewe
[chorus]
Yale umetenda baba Yote Ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema baba Yote ni kweli
Maana pia wayasema , kwa upendo X2
Subscribe to:
Posts (Atom)